Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Magufuli pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli wamepiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Idara ya Maji Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma. Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Magufuli akipiga kura katika Kituo cha Kupigia kura cha Idara ya Maji Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma. Post Views: 1,472 Continue Reading Previous Msemaji wa Serikali aridhishwa na utulivuNext Mwinyi Rais ashinda Urais Zanzibar More Stories 3 min read Habari Serikali yathamini mchango wa viongozi wa Dini kwenye maendeleo October 4, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Waziri Jafo awaasa wajumbe Bodi ya FCC kuwa waadilifu, waaminifu October 4, 2024 Jackline Mkota 1 min read Habari Rais Samia: Hatua mpya katika maboresho ya mfumo wa kikodi Tanzania October 4, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Serikali yathamini mchango wa viongozi wa Dini kwenye maendeleo
Waziri Jafo awaasa wajumbe Bodi ya FCC kuwa waadilifu, waaminifu
Rais Samia: Hatua mpya katika maboresho ya mfumo wa kikodi Tanzania