Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Magufuli pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli wamepiga kura katika Kituo cha Kupigia Kura cha Idara ya Maji Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma.Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Magufuli akipiga kura katika Kituo cha Kupigia kura cha Idara ya Maji Chamwino Ikulu Mkoani Dodoma.
More Stories
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya