Majaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar pamoja na Mawakili wakiwa katika hafla ya kuapishwa, George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar kabla alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, leo Ikulu ya Zanzibar. Picha na IkuluMufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid wakati wa hafla ya kuapishwa, George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo. Kabla ya hapo alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria. Picha na Ikulu.
More Stories
Serikali ,Washirika wa Maendeleo waweka mkakati utekelezaji Dira ya 2050
Benki ya Exim yazindua suluhisho la malipo ya kisasa kwenye Z- Summit 2025
DCEA yateketeza zaidi ya ekari 300 za bangi