
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwasili katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino kwa ajili ya hafla ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. Magufuli kwa ajili ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma kwa ajili ya hafla ya chakula cha mchana aliowaandalia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM leo tarehe 12 Julai 2020.




More Stories
Dkt.Jingu ahimiza matumizi ya TEHAMA katika malezi
Mbunge Lulida :Mjusi wa Tendaguru,’Mapato yetu yanaliwa Ujerumani, Lindi Inabaki Maskini
Dkt.Samia ahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha