Na Yusuph Digossi, TimesMajira Online
MASHABIKI mbalimbali waliojitokeza katika uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga utakaoanza saa 11:00 jioni wamelalamikia utaratibu mbovu wa kuingia uwanjani jambo linalosababisha msongamano mkubwa wa mashabiki.
Baadhi ya mashabiki hao wameuambia Mtandao huu kuwa, utaratibu uliowekwa ni kama umeshindwa kusimamiwa jambo linalofanya baadhi ya mashabiki kujichomeka katika mistari hiyo.
More Stories
Kasulu FC mabingwa mashindano Khimji 2025
Fainali Khimji cup kufanyika Februari 7,2025
Naibu Waziri wa Fedha abariki ujio mpya wa Bahati Nasibu