Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akionesha mkoba wenye fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar, kulia ni mkewe, Thania Abdulla. Masauni amechukua fomu hiyo leo katika ofisi ya CCM Kisiwandui Zanzibar .Picha na Abubakari Akida Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akionyesha mkoba wenye fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar. Kushoto ni Katibu Kamati Maalumu ya NEC na Idara ya Oganaizesheni,fomu hiyo amechukua leo katika Afisi ya CCM Kisiwandui Zanzibar.Picha na Abubakari Akida Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akikabidhiwa maelekezo maalumu na Katibu Kamati Maalumu ya NEC na Idara ya Oganaizesheni,Garosi Nyimbo baada ya kufika Afisi Kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kuomba kuteuliwa na CCM kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar, fomu hiyo amechukua leo katika Afisi ya CCM Kisiwandui Zanzibar.Picha na Abubakari Akida Post Views: 1,284 Continue Reading Previous Magufuli chupuchupu awatumbue RPC, Kamanda TAKUKURU ArushaNext Wanachama 2,565 wajitokeza kumdhamini Magufuli Ruangwa More Stories Habari Waadhimisha miaka 48 ya CCM kwa kupanda miti 245 February 2, 2025 Judith Ferdnand Habari Rais Samia azitaka Wizara husika kusimamia sera ya elimu February 1, 2025 zena chitwanga Habari Serikali yaboresha sekta ya elimu Ulyankulu February 1, 2025 Judith Ferdnand
More Stories
Waadhimisha miaka 48 ya CCM kwa kupanda miti 245
Rais Samia azitaka Wizara husika kusimamia sera ya elimu
Serikali yaboresha sekta ya elimu Ulyankulu