Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akionesha mkoba wenye fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar, kulia ni mkewe, Thania Abdulla. Masauni amechukua fomu hiyo leo katika ofisi ya CCM Kisiwandui Zanzibar .Picha na Abubakari Akida Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akionyesha mkoba wenye fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar. Kushoto ni Katibu Kamati Maalumu ya NEC na Idara ya Oganaizesheni,fomu hiyo amechukua leo katika Afisi ya CCM Kisiwandui Zanzibar.Picha na Abubakari Akida Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akikabidhiwa maelekezo maalumu na Katibu Kamati Maalumu ya NEC na Idara ya Oganaizesheni,Garosi Nyimbo baada ya kufika Afisi Kuu ya Chama cha Mapinduzi(CCM) kuomba kuteuliwa na CCM kugombea nafasi ya Urais wa Zanzibar, fomu hiyo amechukua leo katika Afisi ya CCM Kisiwandui Zanzibar.Picha na Abubakari Akida Post Views: 1,258 Continue Reading Previous Magufuli chupuchupu awatumbue RPC, Kamanda TAKUKURU ArushaNext Wanachama 2,565 wajitokeza kumdhamini Magufuli Ruangwa More Stories 2 min read Habari Prof.Muhongo awakaribisha wadau kuchangia ujenzi maabara masomo ya Sayansi October 6, 2024 zena chitwanga 4 min read Habari Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini October 6, 2024 Iddy Lugendo 2 min read Habari Matindi: Ufanisi utaleta matokeo chanya sekta ya anga October 5, 2024 Iddy Lugendo
More Stories
Prof.Muhongo awakaribisha wadau kuchangia ujenzi maabara masomo ya Sayansi
Serikali yakaribisha wawekezaji sekta ya madini
Matindi: Ufanisi utaleta matokeo chanya sekta ya anga