Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Komredi Paul Makonda akiendelea na ziara yake katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa amefika kumsalimia Bibi Suzana Magufuli ambaye ni Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Nyumbani kwake Chato mkoani Geita
Makonda anaendelea na ziara ya aina yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa inayobeba malengo kadhaa kama vile kujitambalisha kwa wananchi na wanachama wa CCM katika mikoa hiyo lakini pia kutatua kero za wanyonge papo kwa papo.



More Stories
Muswada wa Sheria ya Mikopo wawasilishwa bungeni
Wasanii wahimizwa kuwa mabalozi wa utunzaji wa fedha
Serikali yaongeza ulinzi watoto dhidi ya ukatili mtandaoni