Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mama Janeth Magufuli ambaye ni mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ampokea Paul Makonda nyumbani kwake Chato mkoani Geita na kumfanyia maombi maalumu ya kumtakia kila la kheri katika majukumu yake mapya kama Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM
Komredi Makonda anaendelea na ziara yake katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa ambapo jana Novemba 10, 2023 aliingia Chato mkoani Geita akitokea Bukoba na kutembelea kaburi la Hayati Magufuli pamoja na kuzungumza na wakazi wa wilaya Chato

More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8