Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Komredi Paul Makonda akiendelea na ziara yake katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa amefika kumsalimia Bibi Suzana Magufuli ambaye ni Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Nyumbani kwake Chato mkoani Geita
Makonda anaendelea na ziara ya aina yake katika mikoa ya Kanda ya ziwa inayobeba malengo kadhaa kama vile kujitambalisha kwa wananchi na wanachama wa CCM katika mikoa hiyo lakini pia kutatua kero za wanyonge papo kwa papo.


More Stories
Wizara ya Habari,Utamaduni yaendesha warsha kwa wasanii
Serikali ya Zanzibar inawalea watoto wanaotupwa,kutelekezwa
Simbachawene:Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji Rasilimaliwatu umebaini upungufu wa watumishi 441,366