Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango wakati akiwaaga wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam mara baada ya kuhitimisha ziara yake nchini Tanzania leo tarehe 31 Machi 2023. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango akimuaga Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris na Mumewe Douglas Emhoff katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo tarehe 31 Machi 2023 mara baada ya kuhitimisha ziara nchini Tanzania. Post Views: 344 Continue Reading Previous Wataalamu wa afya Tabora wapewa mbinu kuboresha hudumaNext Prof. Kikula awataka watumishi wa Tume ya Madini kushirikiana katika kazi More Stories Habari Kitaifa Serikali ipo kwenye maandalizi ya TASAF III,ambao hawajainuka kiuchumi TASAF II kupewa kipaumbele February 13, 2025 joyce kasiki Habari DC Kilindi ataka jitihada ziongezwe makusanyo mapato ya ndani February 13, 2025 zena chitwanga Habari Bil.51 zachochea kasi ya maendeleo Manispaa Tabora February 13, 2025 zena chitwanga
More Stories
Serikali ipo kwenye maandalizi ya TASAF III,ambao hawajainuka kiuchumi TASAF II kupewa kipaumbele
DC Kilindi ataka jitihada ziongezwe makusanyo mapato ya ndani
Bil.51 zachochea kasi ya maendeleo Manispaa Tabora