Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline,Zanzibar
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, Leo Jumapili Oktoba 8, 2023 amefika Langoni- Maungani, Wilaya ya Magharibi B Unguja, kwaajili ya Kuwafariji na Kutoa Mkono wa Pole kwa Wanafamilia wa Mzee Ismail Sharif, Kaka wa Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad.

Hatua hiyo imekuja kufuatia Kifo cha Hasnuu Ismail Sharif (68), aliyefariki-dunia Usiku wa Kuamkia Jumamosi ya jana, hapo Nyumbani kwao Langoni-Maungani, baada ya kuugua kwa Majuma kadhaa.



Marehemu Hasnuu ambaye amewacha Mke na Watoto Watatu (3), pia amezikwa jana katika Makaburi ya hapo-hapo Langoni-Maungani, kisiwani Unguja.


More Stories
Ilemela yatenga milioni 920 kwa ajili ya mikopo ya vikundi
Tabora Network yawezesha vijana kiuchumi
Wanawake watakiwa kutochafuana kuelekea uchaguzi mkuu