Na Mwandishi wetu timesmajira
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman, leo Jumatatu Machi 25, 2024, ameendelea na ziara Maalum ya kuwatembelea na kuwajulia-hali, Wagonjwa na Wazee mbali mbali wasiojiweza.
Katika ziara hiyo pia ametoa mkono wa pole kwa Wafiwa wa maeneo mbali mbali ya Mkoa wa Mjini Unguja Kichama.
More Stories
Magonjwa yasiyoambukiza yaendelea kuwa tishio kwa wananchi
52 wahitimu mafunzo ya Kilimo cha Utaalam TADB
MAJALIWA:Watendaji wa Serikali ondoeni ukiritimba utoaji wa habari