Na Haji Mtumwa, TimesMajira Online, Zanzibar
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Alhaj Othman Masoud Othman, leo amejumuika na Viongozi na wananchi mbalimbali katika Maziko ya Shangazi wa Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Mhe. Omar Said Shaaban.
Marehemu Bi. Jokha Ali Salim, alifariki dunia jana Juni 25, katika Hospitali ya Rufaa Mnazimmoja na kuzikwa leo Juni 26, katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.

Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahala pema Peponi, Amin!
More Stories
Sekta ya madini yakusanya zaidi ya bil.900 hadi kufikia Mei 15,2025
WCF yawataka waajiri kutekeleza wajibu wao
Airtel yazindua tena maduka mapya Dar