Na Penina Malundo,TimesMajira Online
MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) Selemani Zedi, amesema Kamati ya LAAC imeteuliwa jana na Spika wa Bunge Job Ndugai yeye kuwa miongoni mwa wajumbe wa kamati hiyo.

Amesema wajumbe wa kamati hiyo wameanza kupewa mafunzo ya wiki moja ya kuwajengea uwezo ili kuweze kusimamia matumizi ya rasilimali za umma zinazopelekwa kwenye Halmashauri zote 185 Tanzania.
Amesema kwa mujibu wa majukumu yao kikanuni,watahakikisha rasilimali za umma zinazopelekwa halmashauri zinatumika kama zilivyokusudiwa,na matumizi yote yanafanyika kwa mujibu wa sheria ya fedha ya Serikali za Mitaa.
More Stories
Simbachawene:Mfumo wa Tathmini ya Mahitaji Rasilimaliwatu umebaini upungufu wa watumishi 441,366
Wakazi Arusha watakiwa kuchangamkia fursa huduma jumuishi za kifedha
Wahitimu wa Mafunzo ya Scout Nkasi watakiwa kuwa mwangaza kwa vijana