Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Frank Nyabundege (kulia), akikabidhiwa nyaraka za ofisi na Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa benki hiyo, Japhet Justine, wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika ofisi za benki hiyo jana jijini Dar es Salaam. Nyabundege aliteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuongoza benki hiyo ya kilimo Agosti, 5, mwaka huu. Na mpiga picha wetu. Post Views: 461 Continue Reading Previous Timu 193 Jimbo la Lipa Wilayani Chunya kushiriki ‘Kasaka Cup’Next CDF yajadili changamoto za ukatili wa kijinsia More Stories 2 min read Habari Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24 May 3, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika May 3, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kitaifa DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT May 3, 2024 joyce kasiki
More Stories
Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24
Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT