Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya leo Agosti 10, 2023 imetupilia mbali maombi yote sita ya walalamikaji waliofungua ya kupinga mkataba wa uwekezaji katika Bandari ya Dar es salaam
Walifungua kesi hiyo dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi na Katibu Mkuu wa wizara hiyo.
Kesi hiyo ilitajwa kwa mara ya kwanza mahakamani hapo Julai 3 na ikaanza kusikilizwa Julai 20, mwaka huu.
More Stories
Shekhe Mavumbi ahamasisha waislamu kupiga kura
Naibu Waziri Nderiananga awasilisha salamu za pole msiba wa mdogo wake Lukuvi
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni