Wananachi mbalimbali Zanzibar wamejitokea kwa ajili ya kuupokea mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,Makamanda wa Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ wakiwa wamebeba jeneza likiwa na mwili wa Hayati John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, baada kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, na kupelekwa Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kuagwa na Wananchi wa Zanzibar.(Picha na Ikulu)
More Stories
CCM yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu 2025:Rais Samia atoa maelekezo ya kimkakati
CCM Yatangaza Vipaumbele Tisa vya Ilani ya Uchaguzi 2025–2030
Dkt.Samia:Wasio na uwezo msiwaonee haya