

Waziri Mkuu na Mbunge wa zamani wa Monduli Edward Lowassa pamoja na mkewe Mama Regina Lowassa leo huko Monduli wamekuwa miongoni kwa wana CCM waliyomdhamini Rais John Pombe Magufuli kutetea kiti chake cha urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu baadaye Oktoba mwaka huu.Pichani Mama Regina akitoka saini fomu za udhamini mara baada ya Lowassa kufanya hivyo
More Stories
BUWSSA yapokea bil.28.1 ya miradi,serikali awamu ya sita
STANBIC yaendelea kusaidia makampuni madogo ya uchimbaji mafuta na gesi
Mawakala kielelezo cha uwazi uboreshaji daftari la wapiga kura