Na Mwandishi wetu ,TimesMajira,Online
MATOKEO ya Kura za maoni kwa nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA )yametangazwa rasmi na Tundu Lissu kushinda nafasi hiyo kwa kura 405.
Katika kikao kilichokaliwa leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam na Baraza kuu la Chadema limeweza kupiga kura na kumchagua Lissu kushika fimbo ya urais kwa Chama hicho.
Wengine waliogombea na Lissu ni Lazaro Nyalandu ambae amepata kura 36 na Dkt Maryrose Mjinge amepata kura moja.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka