Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Wanafunzi wa mwaka wa pili wa shahada ya habari na mawasiliano ya umma Chuo Kikuu Kishiriki Cha Tumaini Dar es Salaam wakiwa ndani ya mapango ya amboni Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara ya kumuunga mkono Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kwenye kuhamasisha sekta ya utalii Nchini.Picha na Julius Peter Swai TUDARCo. Kaimu Katibu Mtendaji baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za usafiri ardhini LATRA CCC, Leo Ngowi (wa kwanza kutoka kulia) akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya wasioona Tanzania Omari Itambu (wa kati kati) wakizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya umuhimu wa Kutoa mafunzo ya matumizi ya tiketi mtandao kwa wasioona.Picha na Victoria Mwakisimba TUDARCo Post Views: 227 Continue Reading Previous Naibu Waziri Kihage aiagiza bodi ya maghala kujenga maghala kisasaNext Kampuni ya BARRON GROUP inayotengeneza kiatu cha shule yajitambulisha kwa Spika wa Bunge More Stories 1 min read Habari Matukio ya picha katika sherehe za miaka 60 ya Muungano April 26, 2024 joyce kasiki 3 min read Habari Tanzania yaieleza UN hakuna wananchi waliohamishwa kwa nguvu Ngorongoro na Loliondo April 26, 2024 zena chitwanga 3 min read Habari Kitaifa Dkt.Biteko aweka wazi utendaji wa EWURA April 26, 2024 joyce kasiki
More Stories
Matukio ya picha katika sherehe za miaka 60 ya Muungano
Tanzania yaieleza UN hakuna wananchi waliohamishwa kwa nguvu Ngorongoro na Loliondo
Dkt.Biteko aweka wazi utendaji wa EWURA