
Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwenye majeneza yenye miili ya wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofariki juzi kwa ajali wakati wakifukuza gari ambalo linadhaniwa lilikuwa na mali za magendo. Watumishi hao waliagwa jana jijini Mbeya. Picha na Esther Macha.
More Stories
Mhandisi Samamba ahimiza uaminifu kwa watoa huduma migodini
Mwanasheria Mkuu wa Serikali awataka wananchi kujitokeza kujiandikisha daftari la wapiga kura
Dkt.Mpango azindua shule ya sekondari itakayojengwa na CRDB Dar