
Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwenye majeneza yenye miili ya wafanyakazi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofariki juzi kwa ajali wakati wakifukuza gari ambalo linadhaniwa lilikuwa na mali za magendo. Watumishi hao waliagwa jana jijini Mbeya. Picha na Esther Macha.
More Stories
Mipango 10 kabambe ya TPA
Bilioni 15 kukopeshwa wanawake,vijana jijini Dar
Serikali yaendelea kubuni mbinu kukabiliana na wanyamapori wakali