NSSF wanatarajia kuwa na kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kwa uratibu wa ofisi ya msajili wa Hazina
Kikao hicho kitafanyika kesho tarehe 25 Septemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Pia Kikao hicho kitaanza saa 3: 00 asubuhi.
Post Views: 381
More Stories
Kapinga :Serikali inaendelea na ukarabati wa miundombinu ya umeme
Majiko ya umeme mbolea mpya kwa maendeleo, uhifadhi mazingira
Dkt.Biteko:Wananchi someni taarifa za nishati kutoka EWURA