NSSF wanatarajia kuwa na kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kwa uratibu wa ofisi ya msajili wa Hazina
Kikao hicho kitafanyika kesho tarehe 25 Septemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Pia Kikao hicho kitaanza saa 3: 00 asubuhi.
Post Views: 398
More Stories
TRA yabaini ukwepaji kodi mkubwa viwandani
Dkt.Samia ahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha
CCM kufanya mkutano mkuu maalumu Mei 29-30,2025