KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kwa kunufaisha jamii kujishindia kiasi cha fedha shilingi laki tano jambo ambalo limekuwa likikuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.






More Stories
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ta wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi
Aida:Wanawake wakipata haki zote itapunguza migogoro