KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kwa kunufaisha jamii kujishindia kiasi cha fedha shilingi laki tano jambo ambalo limekuwa likikuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.





More Stories
Mtwange:Mradi wa kuzalisha umeme wa jua Kishapu wafikia asilimia 63.3
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini