KAMPENI ya Maokoto ndani ya kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti Breweries (SBL) imeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kwa kunufaisha jamii kujishindia kiasi cha fedha shilingi laki tano jambo ambalo limekuwa likikuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.





More Stories
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo
TRA Tanga yakusanya bil.178.3 kwa miezi sita