Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda Agosti 14. 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mamlaka ya Forodha ya Jamhuri ya Watu wa China, Yu Jianhua aliyetembelea katika ofisi yake, jijini Dar es Salaam.
Mazungumzo hayo yaliambatana na utiaji saini wa makubaliano ya kukuza uhusiano baina ya Tanzania na China katika masuala ya Forodha.




More Stories
Yas yamwezesha mtangazaji kuripoti matukio Mlima Kilimanjaro
Tume zaunganisha nguvu kuimarisha miradi ya maendeleo
Mkenda aitaka EAC kuongeza uwekezaji Sekta ya Elimu