Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako akizungumza katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakati wa kujadili na kupitisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2021/2022 na makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 katika ukumbi wa Ofisi za Bunge jijini Dodoma. Sehemu ya wakuu wa taasisi pamoja na wakuu wa idara wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu wakifuatilia wasilisho la kikao cha kujadili na kupitisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2021/2022 na makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 Kaimu mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Emmanuel Mwakasaka (Mb) akichangia hoja katika kikao hicho. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi akijibu hoja wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakati wa kujadili na kupitisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2021/2022 na makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria cha Taasisi ya wakala wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (Osha) Nd. Netiwe Mhando akitoa Mafunzo kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria kwa lengo la kuwajengea uelewa wa taasisi hiyo. Meneja wa Mipango na Utafiti wa Taasisi ya Mfuko wa Fidia kwa Mfanyakazi (WCF) Patrick Ngwila akitoa Mafunzo kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria kwa lengo la kuwajengea uelewa wa taasisi hiyo. Post Views: 418 Continue Reading Previous TANZANIA, LIECHTENSTEIN kuwekeza katika kilimo haiNext DC Ludigija aiagiza Ilala kuanzisha Kampuni maalum ya kukamata wachafuzi wa mazingira More Stories 2 min read Habari Absa Dar City waunga mkono juhudi za Serikali uboreshaji Afya May 15, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari Ndejembi atoa onyo kwa waajiri wasiowasilisha michango ya wafanyakazi wao NSSF May 15, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasilisha nyaraka kidijitali May 15, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Absa Dar City waunga mkono juhudi za Serikali uboreshaji Afya
Ndejembi atoa onyo kwa waajiri wasiowasilisha michango ya wafanyakazi wao NSSF
PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasilisha nyaraka kidijitali