NEW YORK, Marekani
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Shawn Corey Carter maarufu kama ‘Jay-Z’ ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuonekana akiwa amevaa saa yenye thamani ya Dolla milioni 3, ambayo kwa pesa ya Tanzania ni Bilioni 7.
Jay-Z, alionekana akiwa na saa hiyo mwishoni mwa wiki katika sherehe ya mfanyabiashara aitwae Michael Rubin.
Katika sherehe hiyo, nyota mastaa mbalimbali maarufu wamehudhulia, akiwemo Beyonce, Travis, na J Balvin Quavo.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”