NEW YORK, Marekani
NYOTA wa Hip Hop nchini Marekani, Shawn Corey Carter maarufu kama ‘Jay-Z’ ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuonekana akiwa amevaa saa yenye thamani ya Dolla milioni 3, ambayo kwa pesa ya Tanzania ni Bilioni 7.
Jay-Z, alionekana akiwa na saa hiyo mwishoni mwa wiki katika sherehe ya mfanyabiashara aitwae Michael Rubin.
Katika sherehe hiyo, nyota mastaa mbalimbali maarufu wamehudhulia, akiwemo Beyonce, Travis, na J Balvin Quavo.
More Stories
GETHSEMANE GROUP KINONDONI yaja na wimbo wa siku yetu kwaajili ya harusi
Startimes yazindua makala ya China, Africa
Mwanasheria wa Katavi aliyetimkia kwenye muziki achaguliwa tuzo za MIEMMA