Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Taifa letu siku ya Alhamisi, tarehe 22 Disemba 2022 linatengeneza historia mpya: Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anakwenda kuzindua rasmi zoezi la kuanza kujaza maji kwenye bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 78.
Ndoto na matarajio makubwa ya watanzania yaanza kutimia.Fuatilia tukio hili la kihistoria kweye vyombo vyote vya Habari 22 Disemba 2022 mubashara kutoka Rufiji.
More Stories
Kimbunga “IALY” kimeendelea kuimarika na kusalia katika bahari ya Hindi
Sheria ya Nyuki kuwawajibisha wasiozingatia ubora
Othman akutana na viongozi ngazi mbalimbali wa Act -Wazalendo Unguja