Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Taifa letu siku ya Alhamisi, tarehe 22 Disemba 2022 linatengeneza historia mpya: Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anakwenda kuzindua rasmi zoezi la kuanza kujaza maji kwenye bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 78.
Ndoto na matarajio makubwa ya watanzania yaanza kutimia.Fuatilia tukio hili la kihistoria kweye vyombo vyote vya Habari 22 Disemba 2022 mubashara kutoka Rufiji.
More Stories
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya
Kenya,Uganda zaanzisha mradi wa uendelezaji rasilimali za maji Angololo