Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Taifa letu siku ya Alhamisi, tarehe 22 Disemba 2022 linatengeneza historia mpya: Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anakwenda kuzindua rasmi zoezi la kuanza kujaza maji kwenye bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 78.
Ndoto na matarajio makubwa ya watanzania yaanza kutimia.Fuatilia tukio hili la kihistoria kweye vyombo vyote vya Habari 22 Disemba 2022 mubashara kutoka Rufiji.
More Stories
Mama Samia Legal Aid Campaign yawa mkombozi kwa wananchi Mbeya
Rais Samia aridhishwa na utekelezaji miradi Tanga
Ziara ya Rais Samia yaanza kwa kishindo mkoani Tanga