[Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof Kitila Mkumbo (aliyesimama katikati) akimsikiliza Meneja uzalishaji wa Kiwanda Cha KMTC kilichoko Moshi, Hamisi Hango (Mwenye fulana nyeusi) juu ya mashine mbalimbali zinazotengenezwa na Kiwanda hicho kilichopo chini ya Shirika la Taifa la Maendeleo NDC Katika Maonesho ya Sabasaba yanayoendelea Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam jana. Na mpiga picha wtu
More Stories
PPRA yashinda Tuzo, yaahidi kuendelea kuhudumia wananchi
Dkt.Mwinyi awahimiza Wafanyabiashara kutumia fursa za Masoko
Kapinga amwezesha mwenye ulemavu Mashine kusaga viungo