Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu ( Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo – IFAD wanaosimamia Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo na Uvuvi (AFDP) katika ukumbi wa Ofisi hiyo leo 12 Septemba, 2024 Jijini Dodoma.
More Stories
Watumishi TASAF washiriki Mkutano wa Ufuatiliaji na Tathimini Zanzibar
TRA Tanga yataka wananchi kufichua biashara magendo
Vijana wachangamkie maono Rais Samia kwa kujiajiri kupitia kilimo, ufugaji kisasa