Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Makamu wa Rais amewasili nchini Uganda ambapo anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa.




More Stories
Kawaida: Ulinzi wa miundombinu usisubiri vyombo vya dola
Wajasiriamali 1,300 wanufaika na mradi wa INCLUCITIES
Mixx, ZANGOF kuziwezesha Asasi za kiraia Zanzibar