Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Makamu wa Rais amewasili nchini Uganda ambapo anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa.




More Stories
Amana za Benki zinalindwa hadi Milioni 7.5
Dkt Chaya:Tagazeni mafanikio ya Kampeni ya mama Samia legal Aid
FAO yawataka wakulima kuzingatia kanuni bora za ufugaji