Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Makamu wa Rais amewasili nchini Uganda ambapo anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi 25 Wanachama Wazalishaji wa Zao la Kahawa.




More Stories
Mix yaendelea kugawa Mamilioni
Katambi atangaza kusitishwa vibali vya mikutano ya Siasa
Uvccm Mtwara yasisitiza Ulinzi wa Amani