Na Joyce Kasiki,Timesmajira online,Dodoma
MBUNGE wa Jimbo la Ilemela Dkt.Angelinq Mabula ameiomba Serikali kutumia mabonde mazuri yaliyopo katika Jimbo Hilo kwa ajili ya kuiwezesha wananchi kufanya shughuli za Kilimo Cha umwagiliaji Cha mbogamboga.
Dkt.Mabuka ametoa kauli hiyo Leo April 9,Bungeni jijini Dodoma wakati akiuliza swali la nyongeza kuhusu Kilimo cha umwagiliaji Cha mbogamboga katika kata ya Nyamongolo eneo la Nyamadoke na kata ya Isangabiye
bo la Ilemela Lina mabonde mazuri kwa ajili ya Kilimo Cha umwagiliaji ,na bahati nzuri Wizara ya Kilimo iliahenda kufanya upembuzi yakinifu katika kata ya Nyamongolo eneo la nyamadoke na kata ya Isangabiye eneo la igalagala na wakakamilisha upembuzi huo,je lini sasa kazi ya kuchimba visima kwa ajili ya kuanza Kilimo Cha umwagiliaji wa mbogamboga itakamilika Ili wananchi waweze kufanya kazi yao vizuri
silinde
tayari magari wanayo na sasa hivi hatua iliyopo Wizara ya Kilimo wanakweda kufanya savei Ili kupata urefu wa maji
kazi hiyo itaanza kuanzia mwaka huu wa fedha na mwaka ujao wa fedha

More Stories
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako
TTCL yaadhimisha siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI