Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mhe. Dkt Jakaya Mrisho kikwete amemtakia afya njema mfanyabiashara maarufu ambaye ni Mkurugenzi wa Msama Promotions na Dira media group Alex Msama baada ya siku chache kuugua ghafla na kulazwa katika Taaisis ya Moyo ya Jakaya Kikwete,JKCI kabla ya sasa kuhamishiwa Moi kwa matibabu zaidi.
Kwa mujibu wa watu wa karibu wa Alex Msama Rais Kikwete amemtakia afya njema ili aweze kupona Mkurugenzi huyo tayari kwa ajili ya kuendelea na shughuli zake za kujenga nchi,ambazo amekuwa akizifanya kila msama kwasasa anaendelea na matibabu katika hospital ya moi hapa dsm

More Stories
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako
TTCL yaadhimisha siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI
Wananchi Dodoma washauri TBA kujenga nyumba za kupangisha watu binafsi