Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt.James Andilile,akiongoza Mada kuhusu Ushawishi wa Siasa za Kikanda kwenye Mahitaji na Bei ya Mafuta, leo 6/3/2025 kwenye Mkutano wa 11 wa Mafuta na Gesi Asilia Afrika Mashariki unaoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere.
More Stories
Sangu atoa onyo matumizi mabaya fedha za miradi
Mpango wa Serikali wa uanangezi wawanufaisha halmashauri Sumbawanga
UNDP yanoa watengeneza maudhui Songwe