Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt.James Andilile,akiongoza Mada kuhusu Ushawishi wa Siasa za Kikanda kwenye Mahitaji na Bei ya Mafuta, leo 6/3/2025 kwenye Mkutano wa 11 wa Mafuta na Gesi Asilia Afrika Mashariki unaoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere.
More Stories
TANESCO yabaini matukio ya Wizi wa Umeme Kinondoni
DCEA yazindua klabu kupinga dawa za kulevya vyuoni
Serikali yaimarisha uhimilivu bei za mafuta nchini