April 18, 2025

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Dkt.Andilile akiongoza mada kwenye Mkutano wa 11 wa Mafuta na Gesi Asilia Afrika Mashariki

Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt.James Andilile,akiongoza Mada kuhusu Ushawishi wa Siasa za Kikanda kwenye Mahitaji na Bei ya Mafuta, leo 6/3/2025 kwenye Mkutano wa 11 wa Mafuta na Gesi Asilia Afrika Mashariki unaoendelea katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere.