Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
KAKA wa msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamondplatunumz, Romyjons amemuomba msanii huyo kutoa wimbo mpya baada ya kukaa kimya takribani miezi sita.
Akitoa ombi hilo kupitia kwenye Ukurasa wake wa Instagram Romyjons amesema, mara ya mwisho Diamond kutoa wimbo ni ‘Waah’ aliyomshirikisha mkongwe wa muziki wa dansi kutoka nchini Congo Koffi Olomide.
“Diamond, Mimi kama Kaka yako na Watanzania kwa Ujumla tunaomba utoe nyimbo,” amesema Romyjons kupitia kwenye Ukurasa wake a Instagram.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”