Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
NCHI ya Marekani imeamua kuteua siku ya tarehe 18, Disemba kama siku ya kumbukumbu ya kuadhimisha kifo cha aliyekuwa Staa wa Hip-Hop nchini humo marehemu Dmx kila mwaka.
Hafla kama hizo hufanyika kwa sababu ya Heshima za mtu aliyekua mashuhuri ikiwa kama ishara ya kumkumbuka kwa alama kubwa aliyoiacha ulimwenguni Mfano ilivyo kwa Viongozi wetu hapa Nchini (Nyerere Day , Karume day N.k ).
Hata hivyo, hiyo itakuwa kwa mji wa NewYork uliopo nchini marekani na watakuwa wakishiriki maadhimisho hayo kwa mpendwa wao marehemu DmX
Dmx alifariki katika hospitali ya whiteplains tarehe 9 April mwaka huu, kwa kuzidisha dozi ya dawa za kulevya na kuzikwa April,25 mjini New York, Marekani.
%%%%%%%%%%%%%%%%%
More Stories
Tamasha la utamaduni mkoani Ruvuma lapamba moto, Rais Samia mgeni rasmi
TANAPA yazindua Twenzetu Kilele msimu wa nne
Shamrashamra maadhimisho ya miaka 60 JWTZ yaendelea