Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA Anthony Kasore (Kulia) akiteta jambo na Riziki Ndumba (kushoto), mhitimu wa Fani ya Ushonaji, Ubunifu na Teknolojia ya Nguo, kutoka Chuo Cha VETA Songea, wakati wa Mkutano na Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Nguo na Mavazi yaliyonyika tarehe 14 Machi 2025, ukumbi wa Golden Jubilee, Dar es Salaam. Riziki Ndumba ni mjasiriamali mbunifu wa nguo anayeendesha shughuli zake mjini Songea, mkoa wa Ruvuma.

More Stories
Mradi wa kuimarisha huduma za dharura kwa majeruhi wa ajali za barabarani wazinduliwa
MSIGWA:Mfumo wa usajili waandishi wa habari kidijitali upo mbioni kukamilika
Kongani ya Viwanda ya Sino _Tan kutoa ajira laki moja