March 16, 2025

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

CPA.Kasore ateta jambo na Riziki Ndumba,Mhitimu wa Fani ya Ushonaji, Ubunifu na Teknolojia ya Nguo

Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA Anthony Kasore (Kulia) akiteta jambo na Riziki Ndumba (kushoto), mhitimu wa Fani ya Ushonaji, Ubunifu na Teknolojia ya Nguo, kutoka Chuo Cha VETA Songea, wakati wa Mkutano na Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Nguo na Mavazi yaliyonyika tarehe 14 Machi 2025, ukumbi wa Golden Jubilee, Dar es Salaam. Riziki Ndumba ni mjasiriamali mbunifu wa nguo anayeendesha shughuli zake mjini Songea, mkoa wa Ruvuma.