Mkurugenzi Mkuu wa VETA, CPA Anthony Kasore (Kulia) akiteta jambo na Riziki Ndumba (kushoto), mhitimu wa Fani ya Ushonaji, Ubunifu na Teknolojia ya Nguo, kutoka Chuo Cha VETA Songea, wakati wa Mkutano na Maonesho ya Wadau wa Sekta ya Nguo na Mavazi yaliyonyika tarehe 14 Machi 2025, ukumbi wa Golden Jubilee, Dar es Salaam. Riziki Ndumba ni mjasiriamali mbunifu wa nguo anayeendesha shughuli zake mjini Songea, mkoa wa Ruvuma.

More Stories
Kamati ya kudumu ya Bunge miundombinu,yaipa kongole Serikali ujenzi wa maabara ya Mawasiliano
Serikali kuzindua Sera ya Ardhi ya 1995 Toleo la 2023
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya kuanzisha matibabu ya upasuaji moyo