Judith Ferdinand na Daud Magesa, Mwanza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeiagiza serikali kuruhusu mawazo yenye tija katika uwekezaji wa bandari...
Habari
Na Penina Malundo MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameitaka benki na taasisi mbalimbali za fedha nchini kupunguza riba...
Na Lubango Mleka, Igunga. WAGONJWA 1148 kutoka Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora na wilaya za jirani wamejitokeza kwa wingi kupimwa...
Judith Ferdinand na Daud Magesa, Timesmajira Online, Mwanza Mbunge wa Jimbo la Ilemela,Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt.Angeline...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Serikali imesema itaendelea kushirikiana na Wadau mbalimbali kuwasaidia watoto wa kike kupata vifaa vya hedhi...
Na Joyce Kasiki,Timesmajira online,Dodoma TUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NRIC) inatarajia kuchimba visima zaidi ya 1,845 katika mwaka wa fedha...
Na Joyce Kasiki,Timesmajira online,Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph...
Na.Daud Magesa, Timesmajira Online, Mwanza MWANAMKE mmoja Prisca Clement (25), mkazi wa Buhingo wilayani Misungwi , anashikiliwa na Jeshi la...
Na.Daud Magesa, Timesmajira Online, Mwanza JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza, linawashikilia watu watano wakiwemo Mkufunzi wa Chuo cha Udereva...
Na Queen Lema, TimesMajira Online, Arusha Watalamu wa sekta ya afya hususani wauguzi hapa nchini wameaswa kuhakikisha kuwa wanatumia vema...
