Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amesema Nchi za Afrika zimekubaliana...
Habari
Na Joyce Kasiki,Timesmajira online,Dodoma NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wanawake na Makundi Maalum Mwanaidi Ali Khamis amewataka Maafisa Ustawi...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeahidi kugharamia gharama zote za kuunganisha umeme katika Shule ya...
Na David John timesmajira online RAIS Mstaafu Dkt.Jakaya Kikwete ameupongeza Muungano wa Pan-Africa Bean Reseach (PABRA) kwa kutunukiwa Tuzo maarufu...
David John Timesmajira online RAIS Dkt.Samia Suluhu Hassan ameelezea hatua ambazo zinachukuliwa na Serikali katika kutafuta masoko kwa ajili ya...
Na Mwandishi Wetu e-GA TAASISI na Halmashauri mbalimbali nchini zimeendelea kuunganishwa na kunufaika na matunda ya ubunifu ya wataalamu wa...
Na David John timesmajira online WIZARA ya Kilimo  imepokea kiasi cha Dola 300 sawa na shilingi bilioni 700 za...
MHADHIRI wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Goodluck Urassa akizungumza jana jijini Dar es Salaam, alipokuwa akiwajengea uwezo...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameeleza kuwa, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini inatekeleza...
-Naibu Katibu Mkuu Mbibo awataka Wafanyabishara, Wachimbaji kuchangamkia fursa Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Ushiriki wa Tanzania katika Maonesho ya...
