Na Jumbe Ismailly, TimesMajira,Online, Igunga WAFUGAJI wawili wa Kijiji cha Mwalala,Kata ya Nguvumoja,wilayani Igunga wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu...
Habari
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira, Online Kahama KATIBU Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya amewapongeza wananchama wa Chama Kikuu cha Ushirika...
Na Esther Macha,timesmajira,Online,Mbeya MGOMBEA Ubunge Jimbo la Mbeya kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt .Tulia Ackson amesema changamoto zote katika Kata...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online, Kilindi MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim...
Na Angela Mazula, TimesMajira Online, Dar es Salaam CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kupitia Mradi wa Wanawake Wanaweza, kimezindua...
a Mwandishi Wetu,TimesMajira, Online, Kahama NAIBU Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amezindua Kiwanda cha Pambacha Kahama (KACU) kilichofufuliwa na Benki...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Oline, Dar es Salaam BENKI ya I&M Tanzania imeadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja,kwa kutambua mchango...
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira,Online WAZIRI Mkuu Kassim Mjaliwa ameitaka Kampuni ya mbolea bolea ya Yara kuongeza uwekezaji wa mbolea hapa nchini...
Na Magesa Magesa,TimesMajira Online. Arusha WAKALA wa Barabara za Mijini na Vijijini(TARURA) mkoani hapa, umeelezea kusikitishwa kwake na baadhi ya...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online OFISA Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB, Sabasaba Moshingi ameahidi kuendelea kutoa huduma bora na...