Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshtushwa na kifo cha aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, aliyefariki Dunia muda mfupi uliopita katika Hospitalu ya Kairuki Mkoani Dar es Salaam.
Pia Rais Dtk. Samia ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa, Membe alipata changamoto ya kifua na kupelekwa alfajiri ya leo Hospitalini hapo na baadaye kufariki.
Kwa taarifa zaidi endelea kuwa nasi.

More Stories
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni
Notifications: Teknolojia Muhimu Katika Maisha ya Kidijitali
No Reforms, No ElectionsJe, Ni Harakati Halali au Usumbufu wa Kidijitali? Kauli Yachambuliwa