Taarifa zilizotufikia ni kuwa Mchungaji wa Kanisa la Warehouse Christian Center Peter Mitimingi amefariki dunia jana.
Mchungaji Mitimingi wa Kanisa la Warehouse Christian Center lililoko Africana, jijini Dar es Salaam, alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa huduma ya the Voice of Hope Ministry, Mshauri wa Saikolojia wa BLCCC
.
Alifahamika zaidi kwa mahubiri na mafundisho yake kuhusu mahusiano na maisha ya ndoa yaliyoenea zaidi kupitia Mitandao ya Kijamii.
Taarifa zaidi zitakujia muda si mrefu, fuatilia kupitia mtandao wa Timesmajira.co.tz
More Stories
AI Spam Filter na Usalama wa Data Zako
Bodi ya Ithibati yasisitiza Waandishi wa Habari kuweka vyeti vya kitaaluma katika mfumo wa Tai-Habari
REA yahamasisha wananchi kutumia Mkaa Mbadala