Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Online Mbeya
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemuachia huru kada wa CHADEMA, Mdude Nyagali aliyekuwa akishtakiwa kwa kukutwa na dawa za kulevya.

Mdudu ameachiwa na Mahakama hiyo leo baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kuwasilisha ushahidi wa kuweza kumtia hatiani.

More Stories
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni
Notifications: Teknolojia Muhimu Katika Maisha ya Kidijitali
No Reforms, No ElectionsJe, Ni Harakati Halali au Usumbufu wa Kidijitali? Kauli Yachambuliwa