Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online.
Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma.
Pichani, Meneja wa Kanda ya Kati NMB, Nsolo Mlozi akisalimiana na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Prof. Edward Hosea na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Feleshi.


More Stories
Samia kuzindua Benki ya Ushirika kurejesha benki za kijamii
Mtandao mpya kuwafungulia Watanzania dunia mpya! Dola Milioni 100 zawekezwa
Jafo aipongeza iTrust Finance kudhamini Soko la Jiba Souk