Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online.
Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma.
Pichani, Meneja wa Kanda ya Kati NMB, Nsolo Mlozi akisalimiana na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Prof. Edward Hosea na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Jaji Dkt. Eliezer Feleshi.


More Stories
Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti 2025
Benki ya Exim yakabidhi madarasa kwa shule mbili za sekondari Kigoma
Mwenendo Soko la Hisa, wengi wavutiwa kuwekeza katika Bondi