Na Mwandishi Wetu, Timesmajira
MSANII wa muziki wa Bongo na Bosi wa lebo ya KingsKiba hapa nchini, Ali Kiba ametoa ushauri kkuhusu faida ya Kilimo na changamoto zake kwa wadau mbalimbali.
Kupitia mtandao wake wa Twitter Alikiba amewataka watu kuachana na kilimo cha mitandao (Whatsapp) na badala yake kuhakikisha wanafika mashambani ili kujionea hali halisi.
“Nilileta staili za ufanyaji wa muziki kwenye kilimo mwanzoni, niliisoma namba. Kilimo cha ‘Whatsapp’ ni shida,” amesema Ali Kiba
Hivi karibuni nyota huyo wa muziki aliweka wazi kuwa kwa muda sasa amekuwa akijihusisha na shughuli za kilimo na akaahidi kutoa somo kuhusu vitu alivyojifunza kwenye kilimo.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”