Majaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar pamoja na Mawakili wakiwa katika hafla ya kuapishwa, George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar kabla alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, leo Ikulu ya Zanzibar. Picha na Ikulu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid wakati wa hafla ya kuapishwa, George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo. Kabla ya hapo alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria. Picha na Ikulu. Post Views: 1,314 Continue Reading Previous IGP Sirro kuendelea kuongoza EAPCCONext Kampeni za CCM Kigoma katika Uwanja wa Lake Tanganyika leo (PICHA) More Stories 2 min read Habari Kitaifa DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT May 3, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Kitaifa JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji May 1, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Kitaifa Wahariri kujadili nafasi ya waandishi matumizi ya gesi April 28, 2024 joyce kasiki
More Stories
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT
JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji
Wahariri kujadili nafasi ya waandishi matumizi ya gesi