Majaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar pamoja na Mawakili wakiwa katika hafla ya kuapishwa, George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar kabla alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, leo Ikulu ya Zanzibar. Picha na IkuluMufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi, Zubeir Ali Maulid wakati wa hafla ya kuapishwa, George Joseph Kazi kuwa Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo. Kabla ya hapo alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria. Picha na Ikulu.
More Stories
Puma Energy Yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha Alliance One
Majaliwa Azindua Ujenzi wa Makao ya TBS, Ataka Miundombinu Kukamilika Haraka.
Mkuu wa JKT awatoa hofu wazazi asema,JKT ni mahali salama