Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga (wa pili kushoto) akimkabidhi mbolea mmoja wa wakulima wa Kata ya Mlowo mkoani Songwe, Issa Ngoiwakati wa hafla ya uzinduzi wa mpango wa kugawa mbolea bure kwa wakulima ujulikanao kama “Action Africa”. Zaidi ya tani 12,500 zenye thamani ya sh. bilioni 16.5 zitagawiwa kwa wakulima 83,000, nchi nzima.Mpango huo umezinduliwa leo na Waziri Hasunga Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mbolea ya YARA Tanzania, Winstone Odhiambo. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali, Mstaafu Nicodemus Mwangela. Na Mpiga picha Wetu. Post Views: 1,394 Continue Reading Previous Bodi ya Kahawa yatambua mchango wa Prof. KamuzoraNext Polisi yawashikilia Sungusungu waliochoma vibanda vya wavuvi, wakulima More Stories 1 min read Habari Pamba Fc yapongezwa kupanda ligi kuu bara April 30, 2024 zena chitwanga 2 min read Habari FCT toeni Maamuzi kwa Haki April 30, 2024 Iddy Lugendo 2 min read Habari TMA yapongezwa kuimarisha uborabna usahihi wa Taarifa za Hali ya Hewa April 30, 2024 Penina Malundo
More Stories
Pamba Fc yapongezwa kupanda ligi kuu bara
FCT toeni Maamuzi kwa Haki
TMA yapongezwa kuimarisha uborabna usahihi wa Taarifa za Hali ya Hewa