Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof.Faustin Kamuzora,(katikati), akikabidhiwa na viongozi wa Bodi ya Kahawa mashine ya kisasa ya kutayarisha kinywaji cha kahawa iliyokaangwa na kusagwa (Roasted and Ground) kama alama ya kutambua mchango wake wa kuwahimiza Watanzania kufahamu faida za kiafya na kutumia kahawa tunayoizalisha nchini. Kushoto ni afisa mauzo ya nje, Fatu kubonye na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa, Prof. Jamal Adam. Post Views: 1,418 Continue Reading Previous ‘Learn Basketball Skills With ZYBA’ kuhitimishwa OktobaNext Uzinduzi wa mpango wa kugawa mbolea bure kwa wakulima katika picha More Stories 1 min read Habari TCAA washiriki maadhimisho ya MEI MOSI May 1, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari Mbunge aeleza athari za kutisha za mafuriko Ulanga May 1, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kitaifa JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji May 1, 2024 joyce kasiki
More Stories
TCAA washiriki maadhimisho ya MEI MOSI
Mbunge aeleza athari za kutisha za mafuriko Ulanga
JKT yazindua Boti yake kuongeza tija katika ulinzi,uzalishaji