Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof.Faustin Kamuzora,(katikati), akikabidhiwa na viongozi wa Bodi ya Kahawa mashine ya kisasa ya kutayarisha kinywaji cha kahawa iliyokaangwa na kusagwa (Roasted and Ground) kama alama ya kutambua mchango wake wa kuwahimiza Watanzania kufahamu faida za kiafya na kutumia kahawa tunayoizalisha nchini. Kushoto ni afisa mauzo ya nje, Fatu kubonye na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa, Prof. Jamal Adam.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mama yake mzazi