Na Mwandishi wetu,TimesmajiraOnline,Dar
MKURUGENZI wa Penuel Fm Radio , Mchungaji Dkt. Alphonce Temba amechukua fomu ya kuomba ridhaa kugombea Ubunge Jimbo la Kibamba kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Mchungaji Dkt.Temba amechukua fomu Juni 28,2025 na kukabidhiwa na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)wilaya ya Ubungo, Masunga Mwenge.




More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8