Na Mwandishi wetu,TimesMajira,Online
MGOMBEA Udiwani Kata ya Kunduchi kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM),Michael Urio amerudisha fomu huku akiwashukuru Viongozi wa Chama cha Mapinduzi kwa kumuamini kwa mara nyingine.
Akiwa ameongozana na Wanachama wa Chama hicho wakati akirudisha fomu hiyo,amewashukuru na kuwaomba ushirikiano katika kuhakikisha wanapeperusha vema bendera ya Chama hicho.
Urio amesema kuwa kwa kushirikiana na chama chake atahakikisha anasimamia kikamilifu amani na mshikamano katika kipindi chote cha kampeni.
More Stories
RC Mwanza afanya ziara ya kikazi katika mradi wa uwekezaji jengo la Hotel ya nyota tano wa NSSF
Wasichana vinara waiomba serikali kuondoa kodi kwenye taulo za kike
Tigo watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Karatu